KESI YA MCHUNGAJI GWAJIMA KUENDELEA WIKI IJAYO .kisakamili hiki........


 
 
Mahojiano baina ya Jeshi la Polisi na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima yaliyokuwa yanatarajiwa kuendelea jana, ikiwa ni siku mbili baada ya kuachiwa kwa dhamana na jeshi hilo, jana yalikwama kuendelea kutokana na kile kilichoelezwa kutoimarika kwa afya ya askofu huyo, na sasa yatafanyika Alhamisi ijayo.

Gwajima alidaiwa kuzimia wakati akihojiwa na makachero wa Polisi waliokuwa wanamhoji, alipojisalimisha alasiri ya Ijumaa iliyopita baada ya kutakiwa kufanya hivyo, kutokana na kufunguliwa jalada la malalamiko ya kumkashifu Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo.
 
Kutokana na hali hiyo iliyotokea majira ya saa tatu usiku wakati akiendelea na mahojiano yaliyoanzia alasiri, alikimbizwa Hospitali ya TMJ, Mikocheni akiwa chini ya ulinzi wa Polisi hadi aliporuhusiwa kutoka Jumanne wiki hii na baadaye kuachiwa kwa dhamana.
 
Mwanasheria wa Askofu Gwajima, John Mallya alithibitisha kuahirishwa kwa mahojiano kati ya mteja wake na Polisi, akisema mapema jana asubuhi aliripoti Kikuo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam kama alivyotakiwa kuripoti kituoni hapo kwa ajili ya mahojiano.
 
Hata hivyo, alisema hakuweza kuhojiwa kutokana na kile kinachoelezwa kuwa afya ya mteja wake haijaimarika vizuri na hivyo wamepangiwa kurudi tena kituoni hapo Aprili 9 mwaka huu, yaani Alhamisi ijayo kwa ajili ya mahojiano.
 
“Mteja wangu alifika kituoni leo (jana) asubuhi kwa ajili ya mahojiano na pia kuripoti kama ilivyoagizwa siku alipopatiwa dhamana, hata hivyo afya yake bado haijaimarika na hivyo imewalazimu polisi wampatie muda zaidi hadi Aprili 9 atakaporudi tena kwa ajili ya mahojiano,” alisema Mallya.
 
Hata hivyo, Mallya alisema hali ya afya ya Gwajima imeanza kuimarika na kadri siku zinavyozidi kwenda, atakuwa na nguvu na ataendelea na kazi zake kama kawaida.
 
Mtumishi huyo alipatiwa dhamana katika Kituo cha Polisi Oysterbay na kutakiwa kuripoti Kituo Kikuu cha Kati kwa ajili ya mahojiano zaidi na kusubiri uchunguzi wa kesi yake ukamilike.

UCHAWA WASADIKIWA KUWA CHANZO CHA AJALI NA VIFO KWA WAIMBAJI WA INJILI....HABARI KAILI IHAPA


Gladness Mallya na Chande Abdallah KUTOKANA na ajali na vifo kwa muziki wa Injili vilivyotokea hivi karibuni, imedaiwa kuwa baadhi vimetokana na uchawi.Baada ya kuzagaa kwa habari hizo, mapaparazi wetu walimtafuta Rais wa Chama cha Muziki wa Injili, Addo Novemba ambapo alikiri kuwa kweli uchawi upo na unahusika.
Rais wa Chama cha Muziki wa Injili, Addo Novemba.
“Kwenye msafara wa mamba hata kenge wapo, hili la uchawi silikatai kwani hata kwenye vitabu vya dini limetajwa, kwa hiyo watu wafahamu kwamba tuna vita kali.
“Hata mimi ninasikia kuna baadhi ya waimba Injili na wachungaji wanaoenda Nigeria kwa ajili ya kuchukua nguvu za kishirikina lakini tunaendelea kuomba tunaamini Mungu anatupigania,” alisema Addo.
Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku.
Baadhi ya waimbaji waliofariki hivi karibuni ni pamoja na Deborah John Said (Juni 20), Egla Bavuma (Julai 22), Orida Njole (Julai 12) na Mandilindi William (Julai 15). Waliopata ajali ni Edson Mwasabwite na Bahati Bukuku ambao wote wanaendelea vizuri na matibabu,

JE UNAJUA .UWEZO WA ANAKONDA KATIKA MAWINDOOOO....TAZAMA VIDEO HAPA

HISTORIA YA VITA KUU KWA UPANDE WA AFRIKA MASHARIKI....


Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa bomu la kwanza kurushwa kwenye Vita ya Kwanza ya Dunia (WWI) kwa upande wa Afrika Mashariki lilitupwa katika Bandari ya Dar es Salaam.
Bomu hilo lililokusudiwa kuharibu mfumo wa mawasiliano bandarini, lilirushwa kutoka kwenye meli ya Waingereza iliyojulikana kama Astrea siku ya nne tangu kuanza kwa vita hivyo vilivyoua watu milioni 16 duniani kote.
Akizungumza nyumbani kwa Balozi wa Uingereza nchini, jijini hapa juzi, wakati wa kuazimisha miaka 100 ya WWI Afrika Mashariki, Mratibu wa Taasisi ya Great War in Africa, Dk Anne Samson alisema kuwa baadhi ya watu hawafahamu kuwa harakati za vita hivyo zilifanyika Tanganyika.
“Dar es Salaam ilipigwa bomu kutoka baharini Agosti 8, 1914 na wiki moja baadaye, Agosti 15, 1914 Jeshi la Ujerumani likiwa na askari 200 liliivamia Kenya katika mpaka wa Holili na Taveta wakati huo ikitawaliwa na Uingereza.

HIVI NDIVYO DENTI ALIVYOTESEKA ICU KWA MIEZI MITANO...INASIKITISHA MNO.......

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
MATESO ya mwanafunzi Norat Rashid (16), anayesoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Mtoni Relini, Wilaya ya Temeke, Dar es Salaam ni ya kuhuzunisha na kutia huruma kutokana na ajali ya pikipiki aliyoipata miezi nane iliyopita wakati akienda shuleni.

Mwanafunzi Norat Rashid akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) iliyopo Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Norat alimuambia mwandishi wetu hivi karibuni katika Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) katika Hospitali ya Muhimbili Jengo la Mwaisela chumba namba mbili kuwa ajali hiyo aliipata maeneo ya Mtoni kwa Azizi Ally saa za asubuhi wakati akivuka barabara akienda shule.
Alisema mara baada ya ajali alipoteza fahamu na alipozinduka alijikuta amezungukwa na madaktari wa Muhimbili. Katika mahojiano hayo, Norat alikuwa na haya ya kusema:
“Najua huu ndiyo mwisho wangu wa kusoma, ndoto ya kufika chuo kikuu imezimika ghafla kama taa, sikutegemea kama leo hii ningekuwa hivi, nilizaliwa nikiwa sina matatizo, nilikuwa natembea kwenda shule leo hii siinuki, nalishwa kama mtoto mdogo,“Mama ndiye ananiogesha, kila kitu juu yake wakati hana kazi ya kufanya, namuhurumia sana, bora baba angekuwa hai wangesaidiana kunitunza, pole mama…” 

 Muonekano wa jeraha la mguu baada ya kupata ajali ya pikipiki.
ICU MIEZI MITANO
“Ajali niliyopata ilikuwa mbaya sana, sikutegemea kama leo hii ningekuwa hai, kinachoniuma ni kuona niko kitandani siinuki wala kukaa, nimevunjika mguu, kiuno na mbavu napata maumivu kupita kiasi, nipo hapa wodini lakini ni baada ya kukaa katika chumba maalum cha wagonjwa mahututi (ICU) ambao wako chini ya uangalizi wa madaktari kwa miezi mitano.
“Najua muda si mrefu nitaruhusiwa na madaktari kwenda nyumbani, naamini nitakufa, sitachukuwa muda mrefu kutokana na umaskini wetu, mahitaji muhimu sitayapata kwa vile mama hana kazi, tutakula nini, nitavaaje, nitapataje dawa na tutaishi wapi, nyumba yenyewe ni ya kupanga na kodi imeisha, tutaelekea wapi sisi jamani!
“Wakati nikiwa mzima mama alikuwa akizidiwa na majukuma na sasa nimekuwa mlemavu wa kitandani tena wa kutazamwa muda wote! “Bora ningebakia Muhimbili kuliko kumhangaisha mama, sijui kodi ya chumba atapata wapi kwani kabla sijaugua alikuwa akihangaika kufanya biashara ndogondogo na kupata fedha ya matumizi.”

Norat Rashid akiwa katika jengo la Mwaisela chumba namba mbili katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
WALIMU, WANAFUNZI WENZAKE WAMSUSA
“Nikiwa shule wanafunzi wenzangu walikuwa wakinipenda sana, nikiwa Muhimbili walikuja mara moja tu kuniona nilivyoumia, mpaka leo sijawaona. Walimu nao walikuja mara moja kwa sasa hawaonekani, anayenitembelea ni mama peke yake, hata mjomba naye haji sijui kwa nini, au wananiona kama mzigo kwao?
“Kuna wagonjwa wanatembelewa na ndugu zao kuwafariji wakati mwingine kuwaletea chakula lakini kwa upande wangu hakuna wa kunijulia hali, lakini siyo tatizo kubwa kwangu, yote namwachia Mungu.
“Nawaombeni wananchi mlio na moyo wa huruma mnisaidie, mniombee niweze kutembea, nirudi shule nisome kama wenzangu,” alisema Norat huku akitokwa na machozi.
Kwa kuwa Norat hana simu, watakaopenda kumsaidia  wakawaone maofisa wa ustawi wa jamii Muhimbili watawaunganisha naye.

YALIYOMSIBU WEMA SEPTU....MAKUBWA APATA PIGO LA MAMILION.......KISA TAZAMA HAPA

Stori: Makongoro Oging’ NA MAYASA MARIWATA
KUNA STAA wa sinema za  Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu ‘ameingizwa mjini’ na mhariri wa filamu Bongo mwenye asili ya Kiarabu aliyejulikana kwa jina moja la Chidy kwa kuingia mitini na shilingi 5,000,000 alizompa ili azihariri filamu zake mbili lakini kazi haikufanyika.
Staa wa sinema za  Bongo na Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Jeshi la Polisi Tanzania Kituo Kikuu jijini Dar es Salaam, kilisema ilikuwa mwaka jana (2013) ambapo Wema alimkabidhi mhariri huyo filamu mbili, Super Star na Vian Unaspect.
MALIPO YAFANYWA, KAZI HAKUNA
Ikazidi kudaiwa kwamba mbali na filamu hizo, Wema alimlipa jamaa shilingi 2,500,000 ili kuzihariri (editing) filamu hizo ikiwa ni hatua ya mwisho kabla ya kuingia sokoni.
JAMAA AINGIA MITINI, AMKWEPA WEMA
Habari zikazidi kudai kwamba, baada ya kuudaka ‘mpunga’ huo jamaa huyo amekuwa akimzungusha Wema kufanya kazi zake na kumkabidhi ili azipeleke sokoni ndipo wiki iliyopita mlimbwende huyo akalazimika kwenda kutoa taarifa kwenye Kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’ jijini Dar es Salaam.
GHARAMA ZA FILAMU
Kwa mujibu wa mtoa habari huyo, alimsikia Wema akisema filamu zote zimemteketezea shilingi milioni 70,000,000 mbali na hizo alizomlipa huyo mhariri wa filamu ambazo zikiingizwa kwenye gharama nzima inafika shilingi 75,000,000.

KAMA ZINGEINGIA SOKONI
Habari zaidi zinasema kwamba kama filamu hizo zingehaririwa mwaka jana na kuingizwa sokoni, Wema angekunja mkobani kiasi cha shilingi 140,000,000 hivyo kurudisha gharama za kuandaa (75,000,000) na faida juu (65,000,000).
WEMA ASWAKWA, AKATAE AU AKUBALI
Kufuatia maelelezo hayo kutoka chanzo chetu, mwishoni mwa wiki iliyopita, Uwazi lilimsaka mrembo huyo ili afunguke kuhusu kuwepo kwa madai hayo, alipopatikana na kuulizwa sakata zima hakuwa tayari kupepesa macho, akakiri.
Alisema awali kijana huyo aliyemdhulumu alikuwa mfanyakazi wake katika kampuni ‘mufilisi’ ya Endless Fame, cha ajabu toka ampatie hiyo kazi ya kumtengenezea pamoja na kumkabidhi fedha amekuwa akimchenga toka mwaka jana.
“Mimi nashindwa hata kumuelewa ana dhumuni gani na hizo kazi zangu maana hapo ana kama shilingi milioni 140 zangu, kwa kuwa kila kazi nilikuwa nalipwa shilingi milioni 70, nilishafanya makubaliano na Kampuni za Proin Promotion  na Steps kuwapa filamu zangu lakini yeye ananizungusha, toka kipindi kile sijaende China, nikimuuliza majibu yake siyaelewi.”
WEMA AMWAGA CHOZI, MTUHUMIWA MBARONI
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Wema aliendelea kulalamika  mpaka kufikia hatua ya kumwaga chozi:
“Juzi kati Mtitu alitaka nifanye naye kazi lakini akanikumbushia Filamu ya Super Star, kwamba hajaiona sokoni mpaka sasa, ndipo nikamuelezea, akasema hawezi kukubali niipoteze kirahisi, lazima nisimame kidete kuipata ndiyo nikaenda naye mpaka Kituo cha Polisi Mabatini kufungua kesi na Chidy akakamatwa siku hiyo hiyo.”
APEWA SIKU SABA
Wema aliendelea kusema: “Polisi walimpa siku saba ahahakikishe ananikabidhi kazi zangu pamoja na kompyuta  moja ambayo aliichukua ofisini kwangu bila ridhaa ya mimi mwenyewe na akagoma kuirudisha.”
AFISA WA POLISI
Naye afisa mmoja wa polisi wa kituo hicho ambaye alizungumza na gazeti hili kwa sharti la kutoandika jina lake gazetini alithibitisha Wema kufungua kesi Mabatini na ikapewa jalada Namba KJN/RB/5850/14 WIZI WA KUAMINIWA 3/7/2014.
“Ukweli ni kwamba zikipita siku saba bila kijana huyo kuleta fedha na kompyuta ya Wema hapa polisi, tutamsaka na tukimkamata sheria itachukua mkondo wake,” alisema afisa huyo wa polisi.
UPER STAR, OMOTOLA ALIFIKA
Kama itakumbukwa sawasawa Filamu ya Super Star ilizinduliwa Juni 24, 2012 kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar na nyota wa muvi za Nollywood (Nigeria), Omotola Jalade Ekeinde alishiriki.

LEBANONI:MLIPUKO WA BOMU WA UA WAZIRI WA FEDHA,NA WENGINE 70 WAJERUHIWA.....TAZAMA HAPA

Mlipuko wa bomu kwenye gari umeua watu saba akiwemo Waziri wa Fedha wa zamani wa Lebanon, Mohamad Chatah na kujeruhi wengine 70 jijini Beirut, Lebanon!

WEMA NDANI YA POZI MATATA LA NUSU UCHI,HEBU TAZAMA



Wema Sepetu amejikuta  akijishushia  heshma  yake  baada ya kutupia  picha mtandaoni zikimuonesha akiwa amevaa mavazi yaliyoacha wazi baadhi ya sehemu nyeti za mwili wake  hasa  matiti, kitovu  na  kifua  kwa  ujumla.. 
 
Katika  picha  hizo  ambazo zinapatikana  instagram, Wema Sepetu anaonekana  akiwa amevaa kiblauzi chenye matundu kiasi cha kuifanya sidiria aliyovaa ionekane huku sehemu nyingine  kama  kitovu, tumbo  na  kifua  kwa   ujumla   zikiwa  wazi  pia.

HAYA NDIYO MAVAZI YANAYOSABABISHA UBAKAJI KUZIDI,DADA ZETU PUNGUZENI

Habari zenu

Leo niko na nyie dada zangu ninaowaheshimu na kuwapa heshima mnayostahili!!

Ninakereka sana na vijivazi vyenu mnavyovivaa siku hizi kwa kuwa haviendani kabisa na utamaduni wetu wa kitanzania na unapoteza maadili kabisa katika jamii husika, siyo wakina dada wala akina mama, wote wamejisahau kabisa, unamkuta mdada/mama amekuvalia mini-skirt kiasi kwamba nusu kama siyo robo tatu ya maumbile yake anayaacha wazi,.

Sijui mnafanya makusudi ama vipi maana bado sijapata jibu mpaka sasa, wengine wanasema mnawatega wanaume ili waingie kingi, wengine wanasema ndiyo kuendana na wakati hivyo yaani ni taabu tupu dada zangu, kwanini msivivae hivi vijivazi mkiwa na mabwana zenu humo vyumbani kwenu muwaonyeshe neema mlizojaaliwa ili wawafurahie maana ndiyo wanaostahili kuyaona maumbile yenu?.


Badilikeni ili jamii iwarejeshee heshima yenu tafadhali!! 
<<<<<bofya hapa uone>>>>> 

HUYU NDIYE MWANAMKE MWENYE MAZIWA MENGI DUNIANI KIFUANI KWAKE ,




MASHOGA,WASAGAJI WAFANYA SEMINA MOROGORO.TAZAMA JINSI ILIVYOKUA


, MOROGORO

WAKAZI wa mjini hapa walifurika katika Ukumbi wa Hedema pande za Msamvu, kushuhudia semina ya mashoga na wasagaji, Risasi Mchanganyiko limefuatilia kwa karibu Semina hiyo ya siku tano iliyoshirikisha mashoga 20 na wasagaji 10 kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania ilianza Oktoba 28 hadi Novemba Mosi mwaka huu.
Mwandishi wetu alitinga kwenye Ukumbi wa Hedema na kushuhudia mashoga na wasagaji hao wakipata  kifungua kinywa .
Mmoja wa mashaga hao aitwaye Ibra kutoka Lindi alidai kwamba semina hiyo imewajengea uwezo wa ufanishi wa kazi yao hiyo ya ushoga.
“ Mimi sasa nitakuwa nikitembea na kondomu zangu kwenye begi, nikipata bwana sina shida ya kumuuliza kondomu, hayo ni miongoni mwa mambo tunayoyajadili kwenye semina hii,” alisema Ibra.
Mwandishi wetu alijaribu kuingia kwenye semina hiyo lakini alizuiwa na kutakiwa kuondoka eneo hilo.
“ Humu tunajadili mambo yetu binafsi hivyo hatutaki yaandikwe ukitaka picha njoo Jumapili asubuhi tunamaliza semina yetu tutapiga picha,” alisema kiongozi mmoja wa mashoga hao aliyegoma kutaja jina lake.
Jumapili mwandishi wetu alifika kwenye ukumbi huo na kuambiwa kuwa semina hiyo iliishia Ijumaa na mashoga hao waliondoka Jumamosi.
Jitihada za kumuona  Meneja wa ukumbi huo, Bw Joseph Lukuba zilifanikiwa na alikuwa na haya ya kusema:
“ Awali sikujua kama Semina ile itawashirikisha mashoga na wasagaji kwani waliokuja kukodi ukumbi ni watu wanaojihusisha na mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Ukimwi ambao mara kwa mara huja kukodi ukumbi  wetu.
“Cha ajabu wakati semina ilipoanza nikashangaa kuwaona mashoga na wasagaji wamejaa ukumbini,” alisema meneja huyo.
Alipoulizwa kama anajua ajenda ya semina hiyo Lukuba alisema hajui chochote.
“Jamaa walikuwa makini hawakutaka watu kuingia hovyo kwenye semina yao lakini nahisi walikuwa wakiwapa mafunzo dhidi ya maambukizi ya Ugonjwa wa Ukimwi,” alisema.

UKATILI WA KINYAMA:MTOTO WA MIAKA MITANO AUAWA KIKATILI NA WATU WASIOJULIKANA,,,HAZAMA

Stori: Gladness Mallya na Chande Abdallah
Inauma sana! Mtoto Neema Nyamuhanga mwenye umri wa miaka mitano, mkazi wa Mlandizi, Pwani ameuawa kikatili na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutelekezwa porini.
Mtoto Neema enzi za uhai wake.
Mwili wa mtoto Neema uliokotwa na wachunga ng’ombe katika pori la Disunyara lililopo kilometa saba kutoka nyumbani kwa akina Neema, Mlandizi Novemba mosi, mwaka huu.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, mwili huo ulikuwa umenyofolewa koromeo, meno yote ya chini na sehemu za siri huku nguo ya ndani ikiwa imewekwa pembeni.
Mama mzazi wa mtoto Neema (katikati) akilia kwa simanzi.
Akizungumza kwa masikitiko na gazeti hili, baba wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Nyamuhanga, alisema Novemba 27, mwaka huu, Neema alifika nyumbani akitokea shuleni kwani alikuwa anasoma darasa la awali na kutaka mama yake ampe chakula.
Baada ya kula, Neema aliondoka  na hakurudi hadi usiku, jambo ambalo liliwashtua wazazi wake na majirani walioanza kumtafuta.
Mwili wa mtoto Neema.
ALIJITABIRIA KIFO CHAKE?
Mtoto Neema alijitabiria kifo chake kwani baada ya kula chakula alimwambia mama yake kuwa amechoka na maisha anaondoka lakini mama yake alipuuzia na kuona ni maneno ya kitoto.
Cha kushangaza kweli mtoto huyo aliondoka kama vile anaenda kucheza na hakurejea tena nyumbani.
Jeneza lenye mwili wa Neema likifunikwa.
ATAFUTWA KWA SIKU SITA
Kwa mujibu wa baba Neema, walijitahidi kutoa taarifa polisi, misikitini na kumtafuta katika shule mbalimbali za Mlandizi ambapo watoto wachache walikiri kumuona akipita mitaa yao lakini hakuna aliyejua wapi mtoto huyo alipoelekea.
Kutokana na kutafuta kila sehemu bila mafanikio kwa siku sita, walitafuta njia nyingine ambapo walitumia waganga wa kienyeji kwa ajili ya kumrudisha mwanaye.
...Jeneza likitolewa nje ya nyumba.
“Kweli inaniuma sana, nimepata maiti ya mwanangu, bado siamini maana nilikuwa na huyu mtoto mmoja tu na miezi michache iliyopita mke wangu alikuwa mjamzito mtoto akafia tumboni,” alisema mzazi huyo huku akifuta machozi.
USHIRIKINA WATAJWA
Katika msiba huo, wengi walikiri kuwepo kwa ushirikina kutokana na jinsi mtoto huyo alivyopotea, waganga walivyotoa vitu vya ajabu ndani ya nyumba hiyo na mtoto kutolewa baadhi ya viungo.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Neema likiwa mbele ya waombolezaji.
ALAZWA LUPANGO
Kutokana na waganga hao kuwepo nyumbani kwake, kundi kubwa la watu lilijaa na kusababisha polisi kufika eneo hilo na kumchukua baba Neema pamoja na waganga watatu ambapo alilala lupango siku mbili katika Kituo cha Polisi cha Mlandizi kwa kile kilichodaiwa kuwa hakuwa na kibali cha kujaza watu nyumbani kwake.
Mwili wa mtoto Neema ukiombewa kabla ya mazishi.
Baba Neema alisema uchunguzi wa daktari ulionesha kuwa mtoto wake aliuawa mbali na kutupwa eneo hilo.
Kutokana na maiti hiyo kuharibika vibaya ilipelekwa moja kwa moja nyumbani kwao na kuzikwa Novemba 2, mwaka huu katika makaburi yaliyopo maeneo hayo ya Mlandizi.
Mama mzazi wa Neema akiwa na majonzi baada ya kuondokewa na mwanaye.
Baadhi ya majirani waliokuwa kwenye msiba huo walisema katika eneo lao hilo kumekuwa na matukio mengi ya watoto kupotea katika mazingira ya kutatanisha.
Mwili wa Neema ukizikwa.
MWENYEKITI ANENA
Mwenyekiti wa Mlandizi-Kati, Ali Bakari Nyambwili alikiri kutokea kwa matukio hayo na kusema kuwa wamejiandaa kukomesha matukio hayo kwa kuanzisha ulinzi shirikishi na utambuzi kwa kila mgeni atakayeingia katika kijiji hicho.
Waombolezaji wakiwa na huzuni.
Mazishi yakiendelea.
Kaburi la mtoto Neema.

WAASI WA M23 WASALITI AMRI NA KUDAI MAZUNGUMZO NA SERIKALI .NI BAADA YA HIKI KITENDO HAPA....

Wanajeshi wa serikali katika Jmauhuri ya kidemokrasi ya Congo, wanashambulia ngome ya mwisho ya waasi wa M23 katika maeneo ya milimani ,msituni Mashariki mwa nchi.
Mamia ya wakimbizi wanatoroka vita karibu na mpaka wa Mashariki mwa Congo na kuingia nchini Uganda.


















Viongozi wa kundi hilo la M23 walitoa wito kwa wapiganaji wao kusitisha vita na kuruhusu mazungumzo ya amani na serikali.
Kiongozi wa wapiganaji hao Mashariki mwa nchi ametangaza kuwa watasitisha mapigano katika vita vyao na jeshi la serikali.
Bertrand Bisimwa alisema kwenye taarifa kwamba anawasihi wapiganaji wote haraka waache uhasama na wanajeshi, ili kuwezesha mazungumzo ya amani kuendelea.
Wanajeshi wa serikali, wakisaidiwa na kikosi cha kuweka amani cha Umoja wa Mataifa, hivi karibuni wamewasukuma nyuma wapiganaji na kuwatoa katika ngome zao nchini.

MKE WAMTU SIMWENZIO:SHABARO ANUSURIKA KUTOWEKA DUNIANI BAADA YA KIPIGO CHA MBWA MWIZI KUMPATA.HEBU TAZAMA ILIVYOKUA

KIJANA mmoja mtanashati ‘Sharobaro’ ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja juzikati alijikuta akichezea kichapo cha mbwa mwizi kisa kikidaiwa kuwa ni mke wa mtu.


Usione vyaelea: Sharobaro (katikati) akilia baada ya kuchezea kichapo kwa kukutwa na mke wa mtu.
 Tukio hilo lilijiri saa saba usiku mwishoni mwa wiki iliyopita, Chalinze mkoani Pwani ambapo mapaparazi wetu walikwenda kwa ajili ya uzinduzi wa kundi jipya la sanaa liitwalo 3 Ways.
 Wakati shamrashamra zikiendelea, ghafla liliibuka timbwili na katika kufuatilia ilibainika sharobaro anayeishi eneo hilo alikuwa akila kipigo kutoka kwa mwanaume mmoja akimtuhumu kuwa alimkuta akiwa amekaa chobingo kihasarahasara na mkewe.

Mke wa mtu sumu: Sharobaro hoi baada ya kipigo.
 Licha ya baadhi ya wasanii kujaribu kuingilia kati ugomvi huo, jamaa huyo aliendelea kushusha kichapo hadi pale watu walipomtolea uvivu na kumzuia asije akasababisha mauaji.
 “Unajifanya sharobaro halafu unazengea wake za watu, sasa wee umeipata fresh na huyo mwenzako akirudi nyumbani naye
atakiona,
” alisikika akisema mwanaume huyo huku akionekana kufura.

 Kufuatia kichapo hicho, sharobaro huyo alijikuta akiangua kilio huku akilalama kuwa mwanamke huyo amemponza na kumharibia siku yake.
 

Kilio: Sharobaro akizidi kububujikwa na machozi baada ya kipondo kutoka kwa mwenye mali.
 Wakizungumzia tukio hilo, baadhi ya mashuhuda walisema, kipigo alichopata kijana huyo ni fundisho kwa masharobaro wengine ambao wamekuwa na uhusiano wa karibu na wake za watu.
 “Unajua hawa vijana hii ndiyo dawa yao, wanajisahau sana. Yaani anajua kabisa fulani ni mke wa mtu lakini anajiweka, sasa kwa kipigo hiki atakuwa fundisho,” alisema baba mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Baba Zulfa.
 Aidha, wengine walimtetea kijana huyo na kudai kuwa mwanamke huyo ndiye anayestahili kulaumiwa kwa kukubali kukaa gizani na kijana huyo wakati akijua ni mke wa mtu.

WANAJESHI WA KENYA KDF WAMEISHAMBULIA KAMBI YA MAFUNZO YA AL-SHABAAB NA KUUWA WATU 300:



The Kenya Defence Forces (KDF) warplanes have bombed and destroyed Al-Shabaab training camp in Somalia in retaliation for September’s terror attack on Westgate Mall, where 70 people were killed and scores wounded by terrorists.

 
Speaking yesterday, KDF Spokesman, Colonel Cyrus Oguna, noted that the Kenyan drone strike on Thursday killed several Al-Shabaab terrorists destroying the training camp where Al-Shabaab organized the Westgate Mall attack.
 
“We have been monitoring this area for some time and we moved in when we got the green light. This is the same area where Al-Shabaab attackers at Westgate did their training”, said Oguna.
 
The camp had over 300 Al-Shabaab terrorist fighters many of who were killed and only a few survived with serious injuries in the attack.
 
However, the Al-Shabaab denied there having been any attack on their training camp, saying it was mere propaganda by KDF.
 
“No military of ours in Somalia was air struck or attacked”, said a senior Al-Shabaab fighter.
 
 
The Kenyan DAILY POST

LAANA:VIDEO MSICHANA AKIMNYONYA BOYFRIEND WAKE NYETI,YAVUJA MTANDAONI HII HAPA

Huyu ndiye binti wa chuo kikuu na msomi kutoka kenya...
Arekodiwa na mpenzi wake wakati akifanya ngono nae ...Tena cha kumdhalilisha zaidi  arekodiwa akikataa kunyonya u**o huku akilalamika " JAMANI MI SITAKI KUN****A"..Hii ni aibu sana kwa kinadada ambao mpaka leo wanaendea kurekodiwa na wapenzi wao...
Video hii inatamba sana kwenye mitandao ya Watssup na mitandao ya kenya
KUMBUKA..
Ukisex na ukikubali kuonyesha uso na kurekodiwa ...Be prepared siku moja utakuwa hadharani....
Mabinti jifunzeni...Mnaudhi sana..
                                     <<<<BOFYA HAPA UANGALIE>>>>
 

DK SLAA APONDA MFUMO MPYA WA UFAULU.....HOJA ZAKE HIZI HAPA


SIKU tatu baada ya serikali kutangaza mfumo mpya wa madaraja ya ufaulu, licha ya kupingwa na wengi, kitendo hicho pia kimemhuzunisha Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa.
Akizungumza  jana, Dk. Slaa alisema:  “Kwa kubadili mfumo wa maksi serikali sasa bila huruma imeamua kwa makusudi kabisa kuua ubora wa elimu nchini, ni kweli kwa kupanua wigo wa kufaulu serikali haitalaumiwa kwa akili ya kawaida, itaonekana  wamefaulu wote, lakini elimu haitawasaidia watoto wenyewe, haitawasaidia wazazi wenyewe,  na haitasaidia taifa letu.

 Tutapataje madaktari bora, tutapataje wanasayansi, walimu au wahandisi bora?  Mabadiliko yanahitajika kusaidia taifa hili lisizikwe na watu wasio na huruma.”
 

Kwa upande wake, Dk. George Kahangwa, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akizungumza kupitia kipindi cha ‘Tuongee’ kinachorushwa na Star TV,  alisema  hatua ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Profesa Sifuni Mchome, kutangaza mageuzi hayo ni kuonesha ni jinsi gani serikali  imeshindwa kutatua mzizi  wa tatizo la elimu nchini na baadala yake inatapatapa kwa kuja na sera iliyoiacha kuitumia toka mwaka 1995 iliyotumia alama hiyo ya 50 kwa 50  kwa Tanzania Bara na 40 kwa 60, kwa Visiwani Zanzibar ambapo safari hii imeamua kuitumia tena na kuiweka wazi.
Dk. Kahangwa alisema serikali licha ya kutoa tamko la kubadilisha daraja jipya huku ikikiri kuwa ilikuwa ikitoa alama za kuanzia 75 hadi 100 ndio ufaulu wa alama ‘A’ na daraja la kwanza, pasipo kuiweka wazi kwa muda mrefu, sasa wameamua kuiweka wazi, huku ni kuwaada Watanzania kwa kutumia sera ambayo hazitekelezeki.
“Hili ni janga la elimu, huko nyuma waliondoa ‘sifuri’ kwenye ufaulu na kuweka ‘feli’, leo hii wanakuja tena na kuongezea daraja la tano na kuita ‘ufaulu hafifu au ufaulu usioridhisha’, huku ni kucheza na masuala ya msingi katika taifa. Kuja mbele za umma na kutangaza tena juu ya sera hiyo waliyoiacha kwa muda pasipokuitumia ni jinsi gani sera hiyo haitekelezeki tena,” alisema Dk. Kahangwa.
Dk. Kahangwa amewaomba Watanzania na wadau wa habari nchini kujitokeza kuwahoji wadau wa elimu kama walishirikishwa kwenye kupitishwa kwa mabadiliko hayo.
Dk. Kahangwa alisema  hivi karibuni kuna shirika lilifanya utafiti wa shule za sekondari 100 ambapo shule nne tu ndizo zinahesabika kama shule bora huku 96 zikihesabika kama makambi ya shule.
Hata hivyo, Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Ansbert Ngurumo, aliyekuwapo kwenye mahojiano hayo alifananisha kitendo cha serikali kupanga madaraja hayo kuwa ni sawa na kupanua magoli ya uwanja ili kila mchezaji afunge, huku akiitaka serikali iwaombe radhi wananchi kwa kuwa ilianza kutumia mfumo huo bila kuwaarifu.
Naye Mratibu wa Chama cha Waandishi wa Habari mkoani Mwanza, Edwin Soko, alisema mabadiliko haya yaliyolenga kuongeza idadi ya wahitimu bila kuangalia uzoefu, yamesababisha taifa kukosa falsafa na Dira ya Taifa.

HUYU NI MSICHANA MREMBO ANAUZA BIKIRA YAKE KWA SH 48 MILIONI.KWA MAELEZO ZAIDI HAPA

Upo single? Una shilingi milioni 43 za kuchezea? Basi mrembo huyu wa Urusi, anakupa fursa ya kulimenya ganda lake vyovyote utakavyo kwa mkwanja huo.


   

Mrembo huyo aitwaye Shatuniha ameinadi bikira yake £17,000 sawa na zaidi ya shilingi milioni 43 za Kibongo. Shatuniha, 18, alisema: “Nina shida ya haraka ya hela, hivyo nauza kitu changu cha thamani zaidi ninachomiliki. Niko tayari kukutana na mtu haraka iwezekanavyo, hata kama ni kesho na nipo tayari kuthibitisha kama kweli ni bikira.

Naweza kuja kwenye hoteli pale Predmostnaya Square nikiwa na nyaraka za kuthibitisha ubikira wangu, na mtu ambaye atachukua hela na kuondoka ili nisiingizwe mjini. Mtu huyu ataondoka na hela lakini mimi nitabaki. Pesa inatakiwa kuwa cash tu.”
Bongo5

MAKUBWAAA:HOTELI INAYOUZA NYAMA ZA WATU YABAINIKA HII HAPA





Polisi walifanikiwa kuvikamata vichwa hivyo baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema wanaoishi karibu na hoteli hiyo ambapo mbali na vichwa hivyo viwili lakini pia walikamata bunduki mbili aina ya  AK47,kofia mbili za jeshi pamoja na simu nyingi.Watu saba wanashikiliwa na jeshi la polisi nchini Nigeria katika hoteli moja iliyopo karibu na soko moja maarufu sana nchini humo linalofahamika kwa jina la Ose-Okwodu katika mji wa Anambra baada ya kukamatwa kwa vichwa viwili vya binadamu vikiwa bado vibichi lakini jina la hoteli hiyo linahifadhiwakutokana na sababu za kiusalamahotel human heads in onitsha “kila wakati nimekuwa nakuja hapa sokoni na kufanya biashara zangu katika hoteli hii kwasababu ipo karibu sana na soko.lakini nilikuja kugundua mambo ambayo sio ya kawaida ikiwemo watu wakiingia na kutoka katika hoteli hii,chakushangaza zaidi ni kutokana na watu hao kuwa ni wachafu sana wakati mwingine wakiwa wamechafuka damu,kwahiyo sikushangaa sana kusikia polisi wamegundua unyama huo jana asubuhi”alisema jamaa mmoja muuza mboga mboga katika eneo hilo.

Mchungaji mmoja ambaye ni mmoja kati ya watu waliowatonya askari kuhusu biashara hiyo ya nyama za watu katika hoteli hiyo alisema "niliwahi kwenda kwenye hoteli hiyo mapema mwaka huu,niliagiza chakula lakini baada ya kula nilihisi nyama ilikuwa na chumvi kwa kiwango cha N700,nilishangaa sana.kwahiyo sikujua kama ni nyama ya binadamu au la nilishangaa kwasababu ilikuwa inauzwa ghali sana”alimalizia mchungaji huyo

SOURSE: DJ SEK BLOG

HUYU NDIYE BINADAMU MZITO KULIKO WOTE DUNIANI,ANA KILO 610,ANGALIA KUTEMBEA KWAKE

Mtu Huyu Ana Uzito Wa Kilo 610, Kutokana Na Afya Yake Kuhitaji Msaada Kitaalam, kutokana na kuzidi kunona kadri siku zinavyozidi kwenda.

Mfalme wa Saudi Arabia, ameingilia kati mpango wa kumsaidia Raia wa nchi hiyo, Khalid bin Mohsen Shaari ambaye ndiye binadamu mnene na mzito zaidi duniani akiwa na uzito wa kilogram 610, katika mchakato wa kumtibu na kumrudisha katika hali nzuri zaidi.




Kutokana na unene, ukubwa na uzito wake, Khalid hawezi kutembea wala kusogea mwenyewe bila msaada wa kifaa maalum cha kumbeba akiwa katika kitanda chake, na cha ajabu zaidi, Ni mshkaji mdogo tu ambaye umri wake ni kati ya miaka 18 na 20.

Kwa mujibu wa rekodi za Guiness, Manuel Uribe kutoka Mexico ndiye aliyekuwa akishikilia rekodi ya mtu mzito na mnene zaidi duniani ambapo alikuwa na uzito wa kilo560, Na baada ya kuonekana na kuingizwa katika matibabu, kwa sasa amepungua na kufikia uzito wa kilo 444.


Mfalme Abdullah tayari ametoa amri kuwa Khalid kuhamishwa huko Riyadh kwaajili ya mchakato wa matibabu yake.

MADEMU WA MASTAA WANAOONGOZA KWA KUWA NAMVUTO MKUBWA DUNIANI HAWA HAPA


Hakuna ubishi Cristiano Ronaldo ni moto uwanjani na anatajwa kama mmoja ya   wachezaji bora wa dunia. Hivyo mchezaji bora wa dunia mtu ambaye ni nembo ya soka, hivyo anahitaji kuwa vitu bora kimojawapo ni mwanamke, huyu hapa mtoto wa kirusi anaitwa Irina Shyk ni kweli kabisa anastahili kuwa demu wa mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo. Irina Shyk ndio anatufungia listi yetu ya wasichana ambao wana mvuto wamewahi ama wapo katika mahusiano na wanasoka.

Antonella Ruccozzo, binti wa kiaregentina ndiye aliuteka moyo wa mwanadamu ambaye inasemekana yupo tofauti na wacheza soka wote kwa uwezo wake wa kulisakata kabumbu. Huyu mtoto ni ndiye usingizi wa Lionel Messi - mchezaji bora wa dunia kwa sasa.


Anaitwa Aida Yespica, alikuwa galfriend wa mcheza soka Matteo Ferrari ambaye alizaa nae mtoto. Kwa sasa huu ni usiungizi wa moja ya viiungo bora duniani Mesut Ozil wa Real Madrid.


Ana mtoto mmoja na moja ya kiungo bora wa ulinzi kuwahi kutokea katika soka la karibuni Claude Makelele. Anaitwa Noemie Lenoir, unaambiwa si tu Makelel alikuwa anajua kuzuia mashambulizi ya uwanjani tu kwani huko Ufaransa mtoto anatingisha hatari lakini Makelele anawatuliza mapedeshee wote wanaomsumbua mama watoto wake.




Mke wa mchezaji wa Tottenham Hotspur Rafael Van Der Vaart ni hatari. Anaitwa Sylivie Van Der Vaart.

Moja kati wengi waliotekwa na mtoto wa Kireno Cristiano Ronaldo. Letizia Filippi moja ya washiriki wa Miss Italy mwaka 2007.

Anajulikana kama ex-wife wa Ashley Cole - Cherly Tweedy aka Cherly Cole. Muimbaji na mwandishi wa nyimbo wa kiingereza. 

Anaujua uwendazimu wote hata ambao kijana Wayne Rooney hatuoneshi uwanjani. Muite Coleen Rooney aka Mama Kai. Mwanamke wa kwanza katika maisha ya Rooney na ndio anayejua kumtuliza Rooney kuliko hata babu Fergie.


English actress amekuwa na mahusiano na wanasoka kadhaa. Alianza na Cristiano Ronaldo, na baadae akachumbiwa na Marcus Bent.

Iker Cassilas hajui tu kudaka mipira pia ana uwezo mkubwa wa kuwakamata watoto wazuri. Huyu Eva Gonzalez nae aliwahi kumpitia katika kipindi cha fainali za kombe la dunia mwaka 2006 nchini Ujerumani.

Alipigiwa kura kuwa"Mtangazaji mwenye mvuto kuliko wote na jarida la FHM, Carbonero anafahamika kwa tabia yake ya kupenda kumkiss in public boyfriend wake Iker Cassilas, katika kila mechi ya World Cup 2010. Pia katika fainali hizo alishutumiwa kwa kumkosesha umakini Cassilas katika mechi waliyofungwa na Uswiss. Mmmmh mtoto alivyo mzuri hivi mie hata simlaumu Cassilas.

Mwigizaji wa kike maarufu kwa TV Series maarufu duniani kwa sasa iitwayo NIKITA. Anaitwa Maggie Q demu wa zamani wa mchezaji bora wa Asia Hidetoshi Nakata.

Model huyu wa kibrazil pia yeye mwenyewe aliwahi kuwa mwanasoka. Yumo katika listi hii kwa sababu ya aliwahi kuolewa na mwanasoka bora wa dunia mara 3 Ronaldo De Lima na wana mtoto mmoja. Pia sasa ameolewa na mwanasoka wa kihispania David Aganz.


 Mwanamuziki maarufu kwa sasa aliwahi kudate na Mhispania Gerard Pique, na ndio maana yupo katika listi hii. Mcolombia huyo anajulikana sana kwa kujua kucheza. Naamini alikuwa akimchezea Pique Pique kila usiku kabla hawajalala.

Model wa kibrazil Raica Oliveira ni binti mwingine aliyeingia katika mikono ya Ronaldo na kutumalizia kipaji cha El Phenomena wetu wa soka.

Add caption
Demu wa zamani wa mchezaji wa Arsenal Freddie Ljunberg pia ni demu wa sasa wa mchezaji wa zamani wa Manchester United anayeichezea Sunderland Kieran Richardson. Ana miaka 20

Zamani alikuwa anajulikana kama Posh Spice aka Victoria Beckham, Mke wa David Beckham. Yeye na mumewe wanatajwa kama moja ya couples bora kabisa miongoni macelebs walio katika mahusiano. Ndoa yao ina watoto wanne mpaka sasa.

Popote utakapokutana na huyu mwanamke kama wewe ni mwanaume kamili ni lazima umtazame mara mbili. Anaitwa Yolanthe Cabau, mke wa kiungo wa Inter Milan Wesley Sneijder. 

Mrembo wa kiswidishi ameolewa na mmoja wanaosoka bora bora waliowahi kutokea katika historia ya soka, Luis Figo.

Usimuone Diego Forlan anapiga sana mashuti ya mbali ukajua yanakuja hivi hivi tu. Analelewa vizuri na mpenzi wake modo wa Kiargentina Zaira Nara.


Huyu Miss England 2004 na Miss Great Britain 2006, amekuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanasoka kama vile Teddy Sherigham, Marcus Bent na Jermain Defoe. Aliporwa taji lake la Miss Great Britain mara baada ya picha zake za uchi za jarida la Playboy kutoka, pia aligundulika alikuwa na mahusaino na moja ya majaji wa Miss Great Britain Teddy Sheringham.



Ogaaaaadrx9drdpysmv55h1ohaf6llpnld9iwmkwesohhwf2qjfhq1wik67z-izhou9jrf7-nte1wbdeut-bvjmwmxyam1t1uj_bmb_affd96orkwrppgdgda3dc_display_image
Demu wa high school wa Kaka, Carolina Celico ni mzuri hatari. Japokuwa ni vigumu kwa wanasoka au watu maarufu kudumu na mwanamke mmoja kwa muda mrefu lakini mlokole Kaka na utajiri pamoja na umaarufu wote alionao hapa ndio kafika. Wameshaona na wana mtoto mmoja.

Mke wa mwanasoka Joe Cole na vingi vya kui-offer camera. Uzuri wake ni hatari na ndio maana haishangazi kuona Cole akiwa kaamua kumueka ndani.







Anajulikana mno kwa mahusiano yake yaliyotingisha mno ndoa ya John Terry - pia Vanessa Perroncel ndiye aliyeleta ugomvi kati ya Wayne Bridge . Ni vigumu kumlaumu Terry kwa uzuri alionao huyu binti.

English model na mwandishi wa makala za urembo katika gazeti la Daily Mirror ndiye mwanamke aliyeuteka moyo wa The Fantastic Captain Steven Gerrard.



Mrembo huyu aliyezaliwa Spain ni moja kati ya wanawake wengi wanaomjua Cristiano Ronaldo akitoka kuamka anakuwa na sura gani. Nererida Gallardo pia amewahi kutekwa na Sergio Ramos.
Huyu ni mrembo ambaye alishawahi kushinda tuzo ya mwanamke mzuri kuliko wote nchini Nigeria, ameolewa na mchezaji wa Fenerbahce Joseph Yobo pia ni mtoto wa kufikia mchezaji John Fashanu.

Anajulikana kwa mahusiano yake yaliyowagonganisha wachezaji wa England Peter Crouch na Shaun Wright Philips. Lauren Pope ni mjasiliamari anayefanya kazi kama DJ katika moja ya kumbi huko jijini London.

Huyu ni mke wa kiungo wa timu ya taifa ya Argentina Martin Demichelis - anaitwa Evangelina Anderson.

Model huyu wa kibrazil anaipenda timu yake ya taifa.
Warner alikuwa na mahusiano na Ronaldo de lima mpaka 1999. Baadae akaolewa na golikipa wa taifa hilo Julio Ceaser na sasa wana watoto wawili.


Pamoja na umalaya wake lakini huyu ndio mwanamke aliyeweza kumtuliza Kapteni John Terry. Tayari ndoa imeshajibu na ipo imara japokuwa imekuwa ikiandamwa naskendo za umalaya wa mumewe


Carlos Tevez anajulikana kwa kujua kulisakata soka, lakini muargentina huyo pia ni hatari kwa warembo wakali. Natalia Fassi ni mrembo mwingine aliyeiletea kashikashi ndoa ya Carlos.

Mrembo huyo Mariana Paesani alishea chumba kimoja na Carlos Tevez kipindi mke wa carlos akiwa anamlea mtoto wao mchanga.
 
Support : Copyright © 2011. HABARILINE - All Rights Reserved