Home » , » KIKONGWE AANGUKA WAKATI AKIWANGA HUKO CHANIKA.mtazame huyu

KIKONGWE AANGUKA WAKATI AKIWANGA HUKO CHANIKA.mtazame huyu

 Watu wakimshangaa bibi aliyedaiwa kuwa mchawi.  Ni aliyekaaa katikati.
 ...Akiwa amepewa chakula, wali na maharage, na Wasamaria wema.
 Akiwa kapakatia sahani la wali aliopewa.
 Watu waliokusanyika kumshangaa.
 
 BIBI mmoja ambaye hakuweza kupatika jina lake mara moja jana majira ya saa mbili usiku maeneo  ya Chanika, jijini Dar es Salaam alianguka wakati akiwa katika harakati za kuwanga ambapo wakazi wa hapo walimkamata na kuanza kumhoji kwa maswali mbalimbali.

TOA MAONI YAKO HAPA

 
Support : Copyright © 2011. HABARILINE - All Rights Reserved