Showing posts with label WANAUME. Show all posts
Showing posts with label WANAUME. Show all posts

SPECIAL:JINSI JAMAA LILIVYOMUUMBUA MKEWE KWA KUTOKUWA MWAMINIFU,INAKUFAA PIA TAZAMA

 
think this idea the husband took is a very smart one ,how can a married woman be sharing a private body online to a stranger in the 1st place,no man can stay with such a woman and call her his wife,the man was smart enough to have disguised himself to be someone else and allow his dirty wife to fool herself around like a cheap whore..very sad.


A married couple work in different cities; the husband works in Abuja while the wife work in Lagos. He goes home every weekend to spend time with her. They both have facebook accounts. 

One day  the husband just decide to creates a facebook account with a fake pix, he sends his wife a request and she was attracted by the handsome young man, hence she accepts his request.

They chat regularly over one month, she finds him exciting and was always looking forward to chatting with him. She began to hate weekends because he online lover was never available to chat with her, not knowing that the "online lover" is her husband who is by her side at weekends.

They chatted about everything, she tell her new online friend her home secret and more more ,recently their chats became very sexually explicit, and she got turned on by the things he asked her to do. Then, one day he asks her to send him a photo of her private part.

Surprisingly, the married woman excitedly send the private photos without hesitation. Her angry husband then asks her to take photo of her body parts and she did.

As soon as he got all the photos in his inbox, the husband reveals his true identity.

The wife is ashamed of herself and begging for forgiveness. The husband said he believes that is how his wife go about sharing her body with men on facebook. He said he can't marry such a cheap woman again.

Should the husband forgive her or not?

MAJANGA.BINTI WA MIAKA 13 AOZESHWA KISA HIKI HAPA.JAMANIII

 

mkwasa 0c12d
 
Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa
Katika hali ya kawaida, binti wa miaka 11 (jina linahifadhiwa kwa sababu za kimaadili), mkazi wa kijiji cha Kongogo, Wilayani Bahi mkoani Dodoma hivi karibuni aliolewa na binamu yake, kisha ndoa yake kuvunjwa na Serikali.
       
Hakuna taarifa nyingi za mabinti kuolewa katika umri mdogo katika wilaya hiyo mbali ya kuwepo kwa watoto wadogo ambao huondolewa katika masomo na wengine kushindwa kupata elimu kwa sababu wazazi wao huwapeleka migodini na wengine maeneo ya mijini kutumikishwa majumbani.

Hata hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Bahi, Betty Mkwasa, anasema wilaya yake inaongoza mkoani hapa kwa kuwa na kiwango kikubwa cha vitendo vya ukeketaji wa wanawake ikiwa nayo ni sehemu ya ukatili wa kijinsia.
Lakini kwa tukio hilo, lililojitokeza katika moja ya familia ya wafugaji, kunaweza kukafanya umuhimu wa kujikita katika utafiti wa kina kuliangalia suala la kuolewa katika umri mdogo lina ukubwa gani mkoani hapa.
"Hazungumzi na mtu yeyote humu ndani na unaweza kumsemesha anakuangalia tu, ila anazungumza na mimi (Mkwasa), ama wasichana wawili tu wa hapa ndani ambao anashinda nao,"anasema Mkwasa ambaye sasa anamlea mtoto huyo.
Maneno hayo yanathibitishwa na mwandishi wa makala haya, aliyefika nyumbani kwa Mkwasa kwa nia ya kuzungumza naye baada ya kupata taarifa ya kuwepo kwa mtoto huyo.
Anapoitwa kwa nia ya kutambulishwa, anafika mlangoni na kubaki akiangalia tu huku wakati mwingine akiinamisha macho yake chini na hata anaposalimiwa haitikii, badala yake anaondoka na kwenda kujificha ndani.
Hali hii iliweka ugumu katika kufanya mahojiano naye, lakini kwa usiri mkubwa inatubidi kumtumia mmoja wa wasichana ambaye amekuwa muwazi kwake kusikia nini kilichotokea.
Si kwamba hazungumzi, la hasha binti huyu ni mzungumzaji mzuri na tunapotoka nje na kuwaacha wawili ndani ya sebule hiyo tunawasikia wakizungumza na hata kucheka kwa sauti.
Mkwasa anasema siku za mwanzoni binti huyo alikuwa haongei na mtu yoyote lakini baada ya kuhudumiwa na mwanasaikolojia ambaye hufika nyumbani kwake kila baada ya siku tatu, alianza kuongea.
Akisimulia tukio hilo, Mkwasa anasema mtoto huyo alikutwa akizubaa na akiwa amechoka katika kijiji cha Mindola baada ya kutoroka kwa mwanamume aliyeolewa naye.Anasema alipigiwa simu na viongozi wa kijiji hicho na kuagiza apelekwe katika kituo cha polisi.
"Nilikuwa kwenye kikao mjini, nikawaambia OCD (Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Wilaya), akae naye mtoto huyo hadi nitakaporejea, nilimwona mtoto. Hakuwa katika hali nzuri sana kwanza alikuwa mwoga, halafu hakuwa anaongea na mtu yeyote,"anasema.
Anasema polisi walimshauri kumpeleka mtoto huyo kwa daktari kwa ajili ya vipimo ambapo iligundulika kuwa ameshaingiliwa sana kimapenzi na kuambukizwa magonjwa ya zinaa.
"Alipewa dawa na tukarudi nyumbani. Licha ya kulalamika kuwa anasikia maumivu, hata kaa yake pale nyumbani kwa siku za awali haikuwa nzuri,"anasema Mkwasa.
Anasema baada ya siku mbili mtoto huyo alionekana anajisaidia haja ndogo iliyochanganyika na damu, hali iliyomfanya kumrudisha tena hospitali alifanyiwa vipimo na kupewa dawa.
CHANZO MWANANCHI

10 WAYS TO KEEP HIM FROM CHEATING.HIZI HAPA

 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Try these 10 ways to prevent infidelity in your relationship!
Most men do not cheat because they don't love you anymore. Men cheat because they want more variety in their sex lives. Some complain of being bored. They want to feel adored by their partners; they want to assert their freedom; they are tired of disappointing you; they want a partner who places them at the center of their life, and they no longer feel like the priority in yours.
Sometimes it's because you are speaking different love languages, and some men say it is a biological directive to procreate with as many women as possible for survival of the species. Whatever the reason, men have an innate need to feel respected and appreciated by their partners. It is most disconcerting for a man to realize he has disappointed his partner in some way. He wants to be her hero.
So, here are 10 ways to prevent your man from cheating:
1. Be willing to initiate sex. Men equate sex with desirability. Help your man to feel desired by expressing your love in a physical way.
2. Be open to experimentation. It can be easy to get comfortable and fear of the unknown can stop you from being open to different sexual experiences. Allow your man to try new things with you. If you won't, there will be someone else who will. I'm not saying to engage in sexual activity you find repulsive but allow yourself to experience new things with the man you love.
3. Don't over-accommodate. Sometimes in a relationship, a woman can become too accommodating. Men get into relationships with a very clear picture of what a lifetime partner looks like and this is often in stark contrast to whom he may have dated casually. Women work to become the person their partner wants them to be and in doing so, they lose themselves. One day, their man realizes this is what he asked for but he isn't sure it's what he really wants. Maintain a healthy sense of self in your relationship.
4. Don't become too controlling. Often without realizing it, when we get into relationships we attempt to control the other person to do what works best for us. We engage in destructive relationship habits such as complaining, blaming, criticizing, nagging, threatening, punishing and bribing or rewarding to control.
5. Make sure he knows how much you appreciate him. Sometimes when women "get" the guy and get married, they begin to get a false sense of security. Remember, all relationships are voluntary. A person can leave at any time. With an over 50% divorce rate in this country, we need to remember how important it is to maintain a positive relationship, not simply to acquire one.
6. Let him have time to himself. Some men cheat because they begin to feel hemmed in by the relationship. Engaging in an affair can provide them the sense of freedom they lose in a relationship. Allow your man time for himself without you. Don't try to monopolize all your guy's time. Be open to time apart for him to spend with friends, pursue hobbies, etc. so he does not feel he has no freedom.
7. Be aware of your emotions. Whether or not we are aware of it, women are masters at using their emotions to communicate volumes without speaking any words. We communicate anger, rage, sadness and disappointment that is received by our partners.
Instead of taking that as a cue to do something different, some men begin to look for another partner who idolizes them the way you used to. Don't forget, your man wants to know he lights you up not that he is constantly disappointing you.
8. Prioritize your relationship. Often, when a man cheats, you will find the woman is also having an "affair" that's not sexual. It's more socially appropriate. This "affair" takes the form of prioritizing something, anything, over the relationship. This could be a job, children, a sick relative, a charity or anything that puts her man lower on her totem pole than the first position.
Prioritize your relationship over everything else. This is the relationship you want to last for all your life. Other things will fade away and the relationship will still be there if you tend to it carefully.
9. Learn his love language. If you are not familiar with Dr. Gary Chapman's The Five Love Languages, please read it. It has the potential to save more marriages than marriage counseling has. Learn your man's  love language and speak it to him regularly. He will know he is loved and remain true to you.
10. Find his relationship pattern. I do not know how to combat the biology argument. Some men simply believe it is hard wired into their genes to have sexual relations with as many women as they can. If this is your man, it probably won't matter what you do. Try to recognize these men early on by asking about their dating history.
If this is a pattern with your man, he probably isn't likely to change just because you love him best. Your best defense against this problem is to be discriminating at the onset.
If you have read this article and wonder, what about him? What does he need to do? I wanted to write an article for women. I encounter more women in pain over their mate's infidelity than I do men. This is for you.
And I want to conclude by saying, if you are unhappy in your relationship, don't point your finger at your partner. Look into the mirror and decide what it is that's causing the unhappiness. If you want something different from your man, ask for it. If he gives you what you want, then great! If he doesn't then look inside yourself for the solution. Accept your man as he is and adjust yourself to better be able to manage your relationship. And if he is violating one of your non-negotiables, leaving might be your best option.

UKARIMU:MUME AMSAMEHE MKEWE AYEPANGA NJAMA YA KUMUUA.MKASA MZIMA HUU



Faith Wairimu Maina alitaka kumuua mumewe kufuatia madai kuwa alikuwa na uhusiano na mwanamke mwingine
Mwanamke mmoja mfanyabiashara mjini Nairobi, Kenya, ambaye alikiri kosa la kupanga njama ya kumuua mumewe, ameachiliwa na mahakama
Bi Faith Wairimu Maina, aliachiliwa huru baada ya mumewe kuitaka mahakama kufuta kesi yake kwani amemsamehe.
Bi Faith alikiri kuwa aliwakodi mamluki kumuangamiza mumewe. “Nataka kumsamehe kwa sababu ya watoto na familia yetu,” mumewe Faith aliambia mahakama.
Mwanamke huyo alikiri makosa ya kupanga njama ya kutaka kumuua mumewe baada ya kukamatwa ingawa baadaye alibadili msimamo wake na kukanusha madai hayo na alitarajiwa kushtakiwa.
Polisi walitibua njama ya mwanamke huyo baada ya majasusi waliokuwa wanajidai kuwa mamluki kupokea malipo ya shilingi 40,000 kuitekeleza njama hiyo.
Mwendesha mkuu wa mashtaka alisema kuwa alifahamishwa wanandoa hao walikubali kusameheana na kuwa bwana Muthee ambaye ni mumewe mwanamke huyo akataka kesi hiyo kufungwa.
Wakili wa mwanamke huyo alisema kuwa hakuwa na pingamizi zozote kutupilia mbali kesi hiyo. Bwana Muthee alisema kuwa mwanamke huyo ni mkewe na alimsamehe kwa sababu ya familia, jambo linaloruhusiwa na mahakama.
Mwanamke huyo tayari alikuwa amewalipa mamluki kumuua mumewe na kisha kuwataka wamletee nguo zake zenye damu ili aweze kuwalipa pesa zitakazokuwa zimesalia ambazo ni shilingi 160,000 na pia aweze kuthibitisha kuwa mumewe ameuawa.
Majajusi walisema kuwa ilikuwa mara ya pili kwa mwanamke huyo kujaribu kumuua mumewe baada ya njama ya kwanza kukosa kufaulu licha ya kuwalipa mamluki waliomwambia kuwa walishikwa na uoga.
Mwanamke huyo alipanga njama ya kumuua mumewe kutokana na madai kuwa alikuwa na uhusiano na mwanamke mwingine

LAANA:MZAZI MBARONI BAADA YA KUMBAKA MTOTO WAKE WA DAMU:SHUHUDIA


MKAZI wa Kijiji cha Njoro wilayani Kiteto mkoani Manyara, Mohamed Ally (42) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi kwa tuhuma za kumbaka mtoto wake wa kufikia. 

Mwendesha Mashitaka wa Polisi, Paulo Kimaro alidai mahakamani kuwa tukio hilo lilitokea Septemba 9 mwaka huu nyumbani kwa mtuhumiwa huyo alipombaka mtoto huyo, mwanafunzi wa darasa la saba.
 
Alidai siku hiyo mke wake alitoka na aliporejea kutaka kuingia ndani alisukumwa nje na baada ya kulazimisha kuingia ndipo akagundua kuwa mumewe alikuwa anafanya mapenzi na mtoto wake huyo

Kimaro alidai kutokana na hali hiyo aliomba msaada ofisi ya kijiji cha Njoro na mtuhumiwa akakamatwa na kufikishwa polisi na baadaye mahakamani.

Mtuhumiwa alikana mashitaka na alirejeshwa rumande hadi Septemba 23 mwaka huu kesi hiyo itakapotajwa tena.

Mke wa mtuhumiwa, Salima Hamisi aliiambia mpekuzi blog kuwa mwanafunzi huyo ni mtoto wa kulea na walimchukua akiwa na umri wa miaka miaka minne.

Kwa mujibu wa taarifa mwanafunzi huyo alifanya mtihani wa taifa wa darasa la saba kwa siku ya pili jana.

OYSTER HUYU NI SAMAKI ANAYERUDISHA HESHIMA YA NYUMBA KWA AKINA BABA.NI KAMA HIVI

Endapo utafanikiwa kumla samaki huyu mwenye gamba gumu anayekwenda kwa jina la Oyster basi utakuwa na asilimia 99 ya kuongeza nguvu za kiume ndani ya dakika 10

.Samaki huyu atakurudishia uwezo wako wa zamani kabla mambo hayajaanza kukuharibikia, tena dawa hii ni salama kwa kuwa ni kama chakula tu.Mtaalamu wa mapishi kutoka Culinary Chamber kwa moyo mkunjufu ameamua kushare nasi habari hii njema. Huna nguvu za kutosha kufanya tendo la ndoa? Unakosa kabisa hamu ya kufanya tendo la ndoa? Perfomance imeshuka? "Basi tatizo lako ni 'low T' au low testosterone," na ni tatizo kubwa kwa wanaume wengi.Testosterone ni hormone inayozalishwa katika vifuko vya mbegu za uzazi wa mwanaume, inasaidia sana sana katika kuhamasisha uwezo na msukumo wa tendo la ndoa. Inasaidia sana pia kumaintain strong bones, muscle mass and strength,

Testosterone inaanza kujitengeneza na kuongezeka katika mwili wa mwaume wakati wa adolescence na unapopevuka, na hupoteza ubora au kushuka kiwango hasa pale unapofikia umri wa miaka 30 kwa kiwango cha asilimia 1 kila mwaka.  Kukosa ubora au kushuka kwa kiwango kunasababishwa na stressau mzongo wa mawazo ya maisha, mlo usio kamili, obesity na sababu nyingine. Inaposhuka ndio balaa inapoanza nawe kukosa hamu au kupungukiwa nguvu za tendo la ndoa mfano uume kutosimama imara na kukosa hamu pengine hata kufanya tendo chini ya kiwango kabisa na kusababisha kutomridhisha mwezi wako.Protein, magnesium na madini ya zinc  kwa wingi sana kuliko chakula chochote duniani, ambayo zinc hiyo inasaidia sana kuongeza testosterone, kukuimarisha na kukuza misuli katika mwili, ukakamavu wa hisia za kimwili na kuzalisha manii ya kutosha (sperm). Chakula kingine chenye zinc nyingi kinachoweza kukusaidia ni maini ya kuku na mbegu za maboga.
Juu, ni hatua za kumwandaa samaki huyo
Unaonahiyo nyama baada ya kumfunua samaki huyo
Mtaalamu amechombeza kuwa ukiona kinyaa wakati wa kumla, basi weka chumvi na limao kisha umle taratibu, lakini pia unaweza kumwagia balsamic vinegar au siki kuongeza ladha.Dozi: vipande viwili au vitatu vinatosha kabisa kwa dozi moja na inashauriwa kula mara moja kila baada ya wiki moja. Kama kumla akiwa mbichi inakupa tabu basi nunua wale wa kwenye makopo au wa kuchemsha lakini chonde chonde usile wale wa BBQ au wa kukaanga. Baada ya kazi muulize wife atakupa majibu!!!
Chanzo:hood infotainment

MBINU ZA KUZUIA KUPIZI HARAKA KWA MWANAMME


Takwimu zinaweza kukushangaza kwamba zaidi ya Robo (25%) ya wanaume duniani  kote husumbuliwa na tatizo la  kuwahi kupizi wakati wa tendo la ndoa!

Sababu ya tatizo hili huweza kuwa ya Kibaiolojia na Kiakili. Kama wewe

pia ni moja yao na unapenda kujua jinsi ya zuia hali hii, endelea kusoma.

  • Jenga tabia ya kufanya mazoezi:- 

    Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye swala zima la kuwahi kupizi. Hii hutokana na hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu.

  • Pumua vizuri na kikamilifu:-

      Kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi na ndivyo ilivyo kwa habari ya viungo vya uzazi! Unapo pumua vizuri na kwa ukamilifu, kiungo hiki  hupata nguvu za ziada. Mbinu mbalimbali za kupumua kama pranayama hujajwa kusaidia sana kujifunza jinsi ya kuzuia kupizi mapema. Baada ya kuinza tu (wakati wa tendo), jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kufanya msuguano. 

  • Mshirikishe mwenzako kikamilifu:-

     Kuridhika kimapenzi ni tukio ambalo wote wawili mnaridhika kikamilifu. Ili kujifunza kujizuia kukojoa haraka, ni vizuri kuwasiliana na mwenzi wako wa kimapenzi. Anaweza akakusaidia kushinda tatizo hili la kiaibu, kila unapohisi unataka kukojoa mapema, sema 'ngoja' na usitishe kwanza shughuli zote kwa muda kidogo.

 
Support : Copyright © 2011. HABARILINE - All Rights Reserved