Showing posts with label lulu. Show all posts
Showing posts with label lulu. Show all posts

LULU AMPONZA RICHIE!!!!!!!!!!!!!!!!




KUFUATIA kitendo cha galacha wa sinema za nyumbani, Single Mtambalike ‘Richie’ kumtunza fedha nyingi msanii mwenzake Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi karibuni, warembo wengi wa mjini wamekuwa wakimsumbua wakitaka kuzichuma.
Akizungumza na paparazi wetu Jumanne ya wiki iliyopita, Kinondoni Makaburini, jijini Dar, Richie alikiri kupokea simu nyingi za kina dada tangu siku ile ya uzinduzi wa filamu ya Lulu, Foolish Age uliofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City wakimuomba urafiki wa kawaida kumbe wana yao moyoni.
“Duh! Umeipata! Ni kweli kabisa simu ni nyingi siku ile tulikutana na mashabiki wetu wengi sana, wakachukua namba lakini kumbe wengi wao lengo lilikuwa ni kutaka mkwanja, daah Napata usumbufu kweli kwa kupigiwa simu kila dakika,” alisema Richie.

MASTAA WA BONGO WALIONASA MIMBA NA KUCHOROPOKA BILA SABABU KUWEKWA WAZI


DHAMIRA ya watu wengi ni kutunza mimba hadi kufikia hatua ya kujifungua lakini wakati mwingine ujauzito unaweza kuchoropoka kutokana na sababu tofauti, iwe kwa kukusudia au bahati mbaya.
Kwenye maisha ya mastaa wetu wa Bongo, wapo waliowahi kupata mimba lakini kutokana na sababu tofauti, zilichoropoka.
Amani linakumegea baadhi ya mastaa hao ambao wengine walianika sababu za mimba hizo kuchoropoka huku wengine wakifanya siri:


http://lh6.ggpht.com/_1F5PLxca91g/S1woZhVXMjI/AAAAAAAADmM/D1lQ2ywdEE8/aunti%20ezekiel1.jpg
            AUNT EZEKIEL
Februari, 2011 aliripotiwa kuwa na ujuzito wa mwanaume ambaye mwenyewe hakumtaja lakini haikupita muda mrefu, mimba hiyo ilichoropoka pasipo kuweka wazi sababu.
http://api.ning.com/files/Dz3XGZp1879BBftYCfjCc*FHY0JOLwj9ZCs9mYAg*6QiA2pMaoHtFj4Cge75oreNDd9cs*02GOhuovuY*tFfhgGosZ3*XK8e/jinikabula.jpg?width=550
     JINI KABULA

Mwaka jana alijinadi kuwa na ujauzito wa Mbongo Fleva, Maximiliam Bushoke. Mimba hiyo ikadumu kwa miezi kadhaa, ghafla ikachoropoka yenyewe kwa bahati mbaya.
http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/10/Wema.jpg
WEMA SEPETU

Kwa upande wake alitundikwa kibendi na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ lakini miezi kadhaa mbele ikatoka yenyewe kutokana na sababu za kitaalam.
http://api.ning.com/files/aoTSsYzQOjApgrpXrEY96gE0HbMxZ8tdB8x80IZJMWGB6rbIdkcEWpWRVrCjRG7J0RxADcxKZLxX1kQFGkU3lTO1AnFGzFpO/206668_178597685521700_100001144098952_370032_2266125_n.jpg?width=398&height=600
LULU
Mwaka jana aliripoti kwenye vyombo vya habari kuwa na mimba ya muigizaji mwenzake, marehemu Steven Kanumba. Wakati mapaparazi wakiendelea kufanya uchunguzi, ghafla ikadaiwa ‘kuyeyuka’ pasipo kujulikana chanzo.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTFPDwFCGibxlpTEjPrPOB6hqZytoAtqF7IWLMiQ9Jx3imPdLxcQ-JdUa-wUkhJiy0Eger5iZX70YeXcd9Xfoi9KdKQZuxsLD0X5cw8l-euxb_CUDGd3MWFIWA0MDQuoBS6FsEphJw_uE/s640/jay+dee.jpg
LADY JAYDEE
Huyu ni mke halali wa Mtangazaji, Gardner Habash. Mwaka 2011 mitandao ya kijamii iliripoti kuwa ni mjamzito na kudaiwa kuwa habari hiyo ilimpa faraja mumewe lakini furaha hiyo iliyeyuka ghafla wakati Lady Jaydee akionekana na tumbo kubwa, ikadaiwa mimba imechoropoka bila sababu kutajwa.

Baby Madaha

Mwaka 2010 mkali huyo wa filamu na muziki Bongo, alidaiwa kuwa na mimba ingawa mwenyewe hakutaka kuweka wazi lakini baadaye ilidaiwa kuwa alikwenda kuichoropoa nchini Kenya.
http://www.gushit.com/files/bookmark_photos/a7468b0461L.jpg
JACK WA CHUZ

Mapema mwaka huu aliripotiwa kuwa ni mjamzito lakini mwenyewe hakupenda kuweka mambo yake hadharani. Hata hivyo, vyanzo makini vilidai kuwa mimba hiyo ilikuwa ya mfanyabiashara mmoja jijini Dar lakini baadaye aliichoropoa pasipo kufahamika sababu
-USWAZI
 
Support : Copyright © 2011. HABARILINE - All Rights Reserved