Home » , , » MTWARA:VIJANA WAKAMATWA NA CD ZA MAFUNZO YA UGAIDI,TAZAMA HAPA LIVE

MTWARA:VIJANA WAKAMATWA NA CD ZA MAFUNZO YA UGAIDI,TAZAMA HAPA LIVE


Siku ya jana vijana 11 walikamatwa kwenye msitu mmoja uliopo Mtwara huku wakiwa wanajifunza mafunzo ya kigaidi. Vijana hao walikamatwa na cd za mafunzo ya Al Shabaab, Al Qaeda, kuunda jeshi, zindukeni Zanzibar, mauaji ya Idd Amini na Mogadishu Sniper. 


Majina ya watu waliokamatwa ni kama ifuatavyo

Watuhumiwa wote hao tayari wameshafikishwa mahakamani na polisi bado wanaendelea na uchunguzi kujua kama kuna makundi mengine na ninani ambaye anafadhili matukio mabovu kama haya.

TOA MAONI YAKO HAPA

 
Support : Copyright © 2011. HABARILINE - All Rights Reserved